Kupanga na kupima viwanja katika mtaa wa Amani kata ya Kerege wilaya ya Bagamoyo mwaka 2018. LECIDE ilipanga na kupima viwanja 45 katika shamba la Mr Mhagama ambavyo baadaye vitauzwa na kurejesha gharama ya kazi hiyo.
Kupanga na kupima viwanja katika mtaa wa Amani kata ya Kerege wilaya ya Bagamoyo mwaka 2018. LECIDE ilipanga na kupima viwanja 45 katika shamba la Mr Mhagama ambavyo baadaye vitauzwa na kurejesha gharama ya kazi hiyo.