LECIDE ilishiriki kwenye mkutano wa wataalamu wa mipango miji na vijiji uliofanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba 2018.
Posted onLECIDE ilishiriki kwenye mkutano wa wataalamu wa mipango miji na vijiji uliofanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba 2018. Mwenyekiti wa LECIDE aliwasilisha mada inayohusu Upitakanaji fedha kwa ajili ya kupanga matumizi ya ardhi vijijini kwa ajili ya kupunguza umaskini. Anayetaka kusoma mada hiyo anaweza kuipata. Pakua Taarifa.